Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Kariakoo mchungaji Eliona Kimaro
Kituo hicho kitakua na sehemu ya kuabudia, sehemu kubwa ya maombi, viwanja vya michezo, hostel na hotel kubwa na ya kisasa
Picha ya kanisa linalotarajiwa kujengwa kwenye kituo hicho cha kimataifa huko Bagamoyo
Sehemu ya majengo yanayotarajiwa kujengwa
Mgahawa mkubwa na wa kisasa utakavyoonekana mara baada ya kumalizika
Eneo lote jinsi litakavyoonekana mara baada ya kukamilika
Ujenzi unavyoendelea kwa kasi mpaka sasa hivi
Mafundi wakiendelea na ujenzi wa kituo hicho cha kimataifa
Blog hii inawatakia kila la heri katika maono hayo ya watu wa Mungu
No comments: