Latest News


More

WANAUKWATA WA MKOA WA DAR ES SALAAM WASHIRIKI IBADA USHARIKA WA MWENGE LEO

Posted by : Unknown on : Sunday, June 8, 2014 0 comments
Unknown
 Vijana wa Ukwata wa Mkoa wa Dar es salaam jumapili ya leo wameshiriki ibada katika Usharika wa Mwenge wa kanisa la K.K.K.T.Pichani juu na chini wanakwaya hao wa Ukwata wakiimba kwenye ibada hiyo



 Pamoja na kwaya ya Ukwata pia ilikuwepo kwaya ya Umoja ya Usharika wa Mwenge, na kwaya ya wanaume .Pichani juu wanakwaya wa kwaya ya Umoja wakihudumu kanisani hapo jumapili hii

No comments:

Leave a Reply