Latest News


More

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

Posted by : Unknown on : Monday, March 31, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :
 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu tarehe 13/04/2014.
Uzinduzi huo unatarajia kufanyika katika kanisa lao la TAG Hamugembe Bukoba Mjini


Akizungumza na mtandao huu wa Tumaini letu mratibu wa kikundi hiki bwana Mmasi amesema hakutakua na kiingilio katika uzinduzi huo ila kila mmoja afike na Tsh 10,000/- tu kwa ajili ya kujipatia nakala yake ya DVD yenye jina "Wewe ndiwe Mungu:

Kazi ni nzuri sana na imefanywa na producer mkongwe Ibrahimu Mshana toka DSM.
HAKUNA KINGILIO FIKA TU NA SH. 10,000/= kwa ajili ya kupata nakala yako ya DVD anasema bwana Mmassi
Saved under :

No comments:

Leave a Reply