Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

Familia yahama nyumba kwa imani za ushirikina

Posted by : Unknown on : Monday, July 22, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


FAMILIA moja katika Kitongoji cha Matakani, Kata ya Bushiri, wilayani Pangani, imelazimika kuhama nyumba yao na kujihifadhi kwa majirani.
Hatua hiyo imetokana na nyumba hiyo kupigwa mawe juu ya bati usiku na mchana huku wanaopiga mawe hayo wakiwa hawaonekani.
Mmiliki wa nyumba hiyo, Boka Jack alisema tukio hilo ambalo analihusisha na nguvu za ushirikina, lilianza saa 6.01 usiku wa mkesha wa Mwaka Mpya.
Jack alisema ilianza kama mzaha usiku huo na walifikiri mawe hayo ni kwa ajili ya watu wanaosherehekea mwaka mpya kwa sababu kitongoji hicho hakina umeme na yeye anatumia umeme wa jua.
Alisema aliamua kutoa kioo juu ya paa usiku huo, lakini mawe hayo yaliendelea kupigwa hadi asubuhi.
“Mawe yanapigwa na yanadondoka chini mchana, sijui nifanyeje au ni huu umeme wa jua nilioweka kuna watu wananionea wivu,” alisema Boka.

Wakati mwandishi wa habari hizi akiwa kwenye mahojiano na Jack, mawe yalikuwa yakiendelea kupigwa juu ya bati huku milio ikisikika.
Kwa mujibu wa Boka, tangu siku hiyo wanalazimika kulala kwa majirani na kufunga duka lake, kwani kila anapojaribu kuingia ndani mawe yana zidi kupigwa hasa anapoingia dukani kuhudumia wateja.
Alisema tukio hilo analihusisha na imani za ushirikina na kuomba kama kuna mtu yeyote bila kujali imani, anaweza kumsaidia ampe msaada ili kuondokana na hali hiyo.

Mwenyekiti wa kitongoji hicho, Athuman Mbilinyi alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kwamba, haijawahi kutokea kijijini hapo.
Mbilinyi alisema licha ya jitihada za kuunda kikosi cha doria kuzunguka nyumba hiyo kuwatafuta wanaopiga mawe, mmoja alijaribu kupanda juu ya paa lakini alikoswa kupigwa jiwe la kichwa.

Alisema suala lililowashangaza hata mchana nyumba hiyo inapigwa mawe, hivyo kulazimika kuamini kwamba tukio hilo linahusiana na imani za ushirikina, ambazo zinalenga kuua maendeleo.

No comments:

Leave a Reply