Latest News


More

KANISA LA K.K.K.T JIMBO LA KASKAZINI WAANDAA KONGAMANO KUBWA LA VIJANA UDOM

Posted by : Unknown on : Wednesday, July 10, 2013 0 comments
Unknown
Saved under : ,
HGGHG

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Jimbo la Kaskazini Dayosisi ya Mashariki na Pwani wiki iliyopita waliandaa kongamano kubwa la injili kwa vihjana wa jimbo hilo.Kongamano hilo la siku nne lilianza  tarehe 04/07/2013 na kumalizika tarehe 7/07/2013.
somo kuu lilikua ni "NINYI NI NURU YA ULIMWENGU (Mathayo: 4:14a)
Kongamano hilo lilifanyika katika ukumbi wa UDOM Dodoma na kuhudhuriwa na vijana wakristo takriban mia nne na hamsini.
Masomo yaliyofundishwa ni pamoja na;
1.Mahusiano, urafiki, uchumba hadi ndoa - Mwalimu Edward Kavishe na
2.Kijana na Uchumi na mchakato wa katiba mpya ya Tanzania  - Mwalimu Godlisten  Moshi
Konghamano hilo lilifunguiliwa na mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mbezi Beach na mkuu wa jimbo hilo mchungaji Anta Muro
Kongamano hilo lilifungwa na Mchungaji Dodlisten Nkya wa Usharika wa Ubungo (K.K.K.T)
Vijana toka Usharika wa Mwenge wakiwa kwenye kongamano hilo
Vijana wakifurahia discussion wakati wakongamano hilo

Vijana wakiwa kwenye discussion wakati wa kongamano hilo


Vijana wakiwa kwenye kongamano hilo

Baadhi ya wakufunzi wakiwa kwenye kongamano hilo la vijana



No comments:

Leave a Reply