Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

KANISA LA K.K.K.T JIMBO LA KASKAZINI WAANDAA KONGAMANO KUBWA LA VIJANA UDOM

Posted by : Unknown on : Wednesday, July 10, 2013 0 comments
Unknown
Saved under : ,
HGGHG

Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania Jimbo la Kaskazini Dayosisi ya Mashariki na Pwani wiki iliyopita waliandaa kongamano kubwa la injili kwa vihjana wa jimbo hilo.Kongamano hilo la siku nne lilianza  tarehe 04/07/2013 na kumalizika tarehe 7/07/2013.
somo kuu lilikua ni "NINYI NI NURU YA ULIMWENGU (Mathayo: 4:14a)
Kongamano hilo lilifanyika katika ukumbi wa UDOM Dodoma na kuhudhuriwa na vijana wakristo takriban mia nne na hamsini.
Masomo yaliyofundishwa ni pamoja na;
1.Mahusiano, urafiki, uchumba hadi ndoa - Mwalimu Edward Kavishe na
2.Kijana na Uchumi na mchakato wa katiba mpya ya Tanzania  - Mwalimu Godlisten  Moshi
Konghamano hilo lilifunguiliwa na mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mbezi Beach na mkuu wa jimbo hilo mchungaji Anta Muro
Kongamano hilo lilifungwa na Mchungaji Dodlisten Nkya wa Usharika wa Ubungo (K.K.K.T)
Vijana toka Usharika wa Mwenge wakiwa kwenye kongamano hilo
Vijana wakifurahia discussion wakati wakongamano hilo

Vijana wakiwa kwenye discussion wakati wa kongamano hilo


Vijana wakiwa kwenye kongamano hilo

Baadhi ya wakufunzi wakiwa kwenye kongamano hilo la vijana



No comments:

Leave a Reply