Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

WAACHENI WATOTO WADOGO WAJE KWANGU

Posted by : Unknown on : Sunday, September 29, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
WAACHENI WATOTO WADOGO WAJE KWANGU
Jumapili hii ya leo ni sikukuu ya watoto (Mikael na watoto) katika makanisa yoto ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T)
Katika Usharika wa Mwenge ilimefanyika ibada nzuri ambayo iliongozwa na watoto wa Shule ya jumapili (Sunday School)
Katika Ibada hiyo iliongozwa na kichwa kinachosema “Waacheni watoto wadogo waje kwangu”
Pichani juu waimbaji wa kwaya ya shule ya jumapili wakiimba kwenye ibada hiyo

Ibada hiyo iliyoratibiwa na Parish Worker wa Usharika Suzane Mwimbi
Mhubiri alikuwa ni mama mlezi wa Usharika mama Beatrice Lema
Neno la Waraka lilisomwa na Catherine Munuo
Neno kuu lilisomwa na Askari Isaya
Matangazo yalisomwa na Ivin Somi
Liturjia iliongozwa na Eva Raymond na Rollings Nyaki
Watoto waliohudumu kama wazee katika ibada hiyo ni;
Diana Kimaro
Catherine Munuo
Ivin Somi
Editha Mguo
Na Paschal Isaya
Mratibu mzima wa Ibada hiyo aikua Suzane Mwimbi
Katika ibada hiyo kulikua na Maigizo, Ngonjera (iliyohusu maisha ya msamaha), Nyimbo na mistari ya moyo kutoka kwenye biblia
Waalimu wa wanafunzi hao ni;
Suzane Mwimbi ambaye ndiye mratibu mkuu
Mwalimu Fande ambaye ni mwalimu kiongozi
Malimu Eliajua Mziray
Mwalimu Godfrey Mushi
Mwalimu Rozi Matogolo
Mwalimu Daniel Muhoza
Mwalimu Agrey Shoo



Wanakwaya ya kwaya ya watoto wakiwa kwenye ibada hiyo
Waumini mbalimbali wakifuatilia ibada hiyo

 Viongozi walioratibu ibada hiyo wakiwa mbele ya madhabahu




 Watoto wa shule ya jumapili wakisema mistari ya moyo toka kwenye bibilia
 Waumini wakifurahia jinsi watoto walivyoweza kusema mistari ya moyo kwa ustadi mkubwa

 Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge (Mchungaji Kaanasia Msangi) mstari wa mbele akifurahia ustadi wa watoto wa kusema mistari ya moyo

 Katibu wa Usharika (mwenye tai) mzee Kombe akifurahia ustadi wa watoto wa kusema mistari ya moyo
 Mtoto Ivin somi akisoma matangazo




 Mama Beatrice Lema akiongoza neno la Mungu katika ibada hiyo ya watoto


 Watoto wa shule ya jumapili wakiongoza washarika kutoka ibadani

No comments:

Leave a Reply