Ibada ya watoto wa Sunday School imefanyika jumapili hii katika usharika wa Mwenge na kuhudhuriwa na watoto wa Usharika huo
Pichani juu ni mwalimu wa shule ya jumapili wa Usharika wa Mwenge mwalimu Eliajua akiwa amembeba mmojawapo wa watoto waliohudhuria ibada hiyo
No comments: