Wakristo wa kabila la Kimasai leo asubuhi wamebatizwa katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Usharika wa Mwenge
Katika ibada hiyo iliyofanyika asubuhi na kuongozwa na mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge mchungaji Kaanasia Msangi na kusaidiwa na mwinjilisti wa Usharika huo mwinjilisti Mwigune.Ibada hiyo ilianza saa 1.00 asubuhi na kumalizika saa 2.15 asubuhi
Pichani juu ni mchungaji Kaanasia Msangi akiwa na wamasai waliobatizwa na baadhi ya washarika waliohudhuria misa hiyo
Katika ibada hiyo jumla ya wakristo wanne walibatizwa ambao ni
1.Ndugu Yona Alaumu
2.Ndugu Yakobo Timotheo
3.Ndugu Thomas Timotheo
4.Na ndugu Lazaro Kitukai
Columnists
Afya Yako
- All post (163)
- Habari za Kidini (361)
- Kutoka Madhabahuni (193)
- Mahubiri (119)
- Maombi (11)
- Ndoa (88)
- Neno la leo (632)
No comments: