Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

ASKOFU AWATAKA VIJANA KUACHA NDOTO ZA MAISHA YA MKATO

Posted by : Unknown on : Monday, December 30, 2013 0 comments
Unknown




Dar es Salaam. Askofu Msaidizi wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Titus Mdoe amewataka
vijana nchini, kuhakikisha wanapata elimu bora itakayowawezesha kufanikisha ndoto zao kwa njia zisizo za mashaka.
Pia Askofu huyo amewasihi vijana kuhakikisha wanapambana na changamoto za ulimwengu zinazoweza kuwaweka katika mazingira ya kuhatarisha maisha yao.
Askofu Mdoe aliyasema jana katika wa Misa Maalumu ya Vijana iliyofanyika katika Ufukwe wa Mbezi Beach, ambapo vijana walitumia nafasi hiyo kuchangia damu zaidi ya uniti 40 katika Mpango wa Taifa wa Damu Salama.
Mdoe alisema ili kufanikiwa bila kutumia njia ya mkato ni lazima kijana apate elimu dunia na ile ya dini itakayomwezesha kuwa kiongozi bora na asiyeweza kutumia rasilimali za umma vibaya.
“Ukiwa kijana mkristu halafu hupendi elimu ni sawa umeiasi dini yako, hakikisheni mnapata elimu dunia na ile ya Mungu itakayowawezesha kuwajenga na kutokuwa na tamaa ya kupata mafanikio kwa njia za mkato,” alisema Askofu Mdoe
Aliongeza: “Mtu anapata elimu dunia pekee na kutokana na kutokuwa na mafunzo madhubuti ya kiimani, akipata kazi anatumia njia za mkato kujipatia fedha na muda mchache utaona kajenga nyumba, atanunua gari na vitu vingine, acheni tamaa na someni.”
Askofu huyo pia alisema kukata tamaa ya maisha ni mwiko; kijana unapoona umekwama aamke na pambana hadi mwisho na atafanikiwa.

“Unamaliza darasa la saba na unafanya vibaya, usikate tamaa, soma kuanzia ngazi ya cheti, diploma, digrii na mwisho utafanikiwa tu,” alisema. Askofu huyo alisema, kutokana na mabadiliko ya utandawazi hivi sasa vijana wengi wamekuwa wakikabiliwa na changamoto lukuki.

No comments:

Leave a Reply