Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

ASKOFU MUNGA AHIMIZA UWEKEZAJI ELIMU YA JUU NCHINI

Posted by : Unknown on : Monday, December 30, 2013 0 comments
Unknown

Lushoto. Askofu wa KKKT, Dayosisi ya Kaskazini Mashariki, Dk Stephen Munga, amezungumzia umuhimu wa Tanzania kuwekeza katika elimu ya juu na kwamba kuwa taifa lolote lisilowekeza katika elimu litakuwa taabani kimaendeleo hasa ya kiuchumi.
“Taifa lolote ambalo halitatazama elimu kama nyenzo ya kujenga utamaduni wa kuleta mabadiliko ya fikra kwa ajili ya maendeleo ya watu wake, liko taabuni,” alisema Dk Munga.
Kiongozi huyo wa kidini, alikuwa akizungumza katika mahafali ya kwanza ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Sebastian Kolowa (Sekomu). Dk Munga ambaye ndiye mkuu wa kwanza wa chuo hicho, alisisitiza juu ya haja ya taifa kuthamini elimu ya vyuo vikuuu, ambavyo aliviita kuwa ni viwanda vya fikra na maarifa mapya.
Hata hivyo, alitahadharisha kuwa uwekezaji katika elimu lazima uzingatie upana wa fursa katika watu kupata elimu. “Elimu lazima iwe na viwango vifaavyo ili kunufaisha wanaoipata na jamii itakayohudumiwa kwa maarifa yaliyopatikana kwa njia ya elimu hiyo,” alisema.
Dk Munga alisema ingawa Serikali inajitahidi kufanya hayo, bado kuna mambo mengi yanayostahili kufanywa kulingana na ushauri wa wataalamu mbalimbali.
Mkuu huyo wa chuo alisema wakati umefika kwa Serikali kuona haja ya kufanya ukarabati mkubwa wa mfumo mzima wa elimu ikiwa ni pamoja na kuona uwezekano wa kuwapa mikopo wanafunzi wote Watanzania wanaojiunga na elimu ya juu.
Alisema kanisa limeanzisha chuo kikuu hicho kwa lengo la kuchangia ujenzi wa utamaduni wa kupata na kurithishana maarifa yenye malengo ya kuboresha maisha ya watu.

No comments:

Leave a Reply