Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MATUKIO MAKUBWA YALIOTOKEA KATIKA USHARIKA WA K.K.K.T - MWENGE MWAKA 2013

Posted by : Unknown on : Wednesday, January 1, 2014 0 comments
Unknown

MATUKIO MAKUBWA YALIYOTOKEA USHARIKA WA MWENGE MWAKA 2013


Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge Mchungaji Kaanasia Msangi (pichani juu ) akisoma taarifa kuu ya matukio makubwa yaliyotokea mwaka 29013 katika ibada ya mkesha wa mwaka mpya jana usiku

Katika taarifa yake mchungaji Kaanasia Msangi alisema ;

Jumla ya watoto wadogo waliobatizwa ni 42

Watu wazima waliobatizwa ni 12

Watoto waliobatizwa ni 10

Waliorudi kundini ni 30

Waliopata kipaimara ni 30

Darasa la Nikodemu ni 20

Jumla ya Ndoa 48 zilifungwa

Walioitwa mbinguni ni 8 ( wanaume 7 na mwanamke 1)

Matukio mengine makubwa yaliotokea kwenye Usharika huu ni;

Family day iliyofanyika katika usharika tarehe 26/05/2013 iliyoandaliwa na washarika wenyewe

Harambee ya ujenzi iliyofanyika tarehe 8/8/2013

Ndoa za pamoja zilizofungwa 24/11/2013 ambapo jumla ya shilingi milioni 7 zilichangwa na washarika kufanikisha sherehe hiyo ambayo ilifanyika kwenye viwanja vya kanisa

No comments:

Leave a Reply