Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

YESU KRISTO ANAINGIA YERUSALEM KWA SHANGWE

Posted by : Unknown on : Sunday, April 13, 2014 0 comments
Unknown

 Sikuku uya mitende ni sikukuu kubwa sana kwa wakristo ambayo tunakumbuka mchakato mkubwa wa ukombozi wetu
Akihubiri katika ibada ya jumapili hii katika kanisa la K.K.K.T U sharika wa Mwenge mchungaji kiongozi wa Usharika huo Kaanasia Msangi (pichani juu) alisema sikukuu ya mitende ni siku ambayo Yesu Kristo aliingia Yerusalem kama mfalme na safari ya mwisho ya kifalme
Safari hii Yesu Kristo anaingia Yerusalem akijua si kama alivyowahi kuingia hapo nyuma
Mathayo 20: 17 – 19
Yesu aliju anaenda kuhitimisha utumishi wake wa ukombozi wa mwanadamu
Yerusalem ilikua na pilika pilika ya maandalizi wa Pasaka ya Wayahudi
Yohana 12:12
Mji ulikua na wageni wengi toka sehemu mbalimbali kama vile Kapernaumu, Yeriko, Nazareth, Tiro na Sidon ink
Watu wengi hao walimfaham Yesu na miujiza mingi ambayo aliifanya kama vile uponyaji, kuondolewa mapepo n k na watu hao wote walikua Yerusalem
Yohana 12 inasema wengi wao ni wale walioacha dini zao za asili na kumfuata Yesu haswa baada ya ule muujiza wa kumfufua Lazaro
Yesu Kristo anawatuma wanafunzi wake wakamlete punda aiyefungwa na ambaye hajatumika bado, na aliwaambia wakiuliza wanampeleka wapi wasema bwana ana haja naye na watamrudisha
Yesu alitaka wajue kwamba yeye ni Mungu katika Israel nay eye ni yote katika yote

Yesu anatumia punda ili atomize unabii uliotolewa kabla na manabii Zakaria 9:9
Jambo hili likikua na mambo mengi ya kujifunza
Tukio la Yesu kuingia kama mfalme wengi walighadhabika haswa wakuu wa makuhani na waandishi
Mwana punda alipoletwa wanafunzi walimtandikia nguo zao na mavazi yao na Yesu alipita juu yake na wale ambao hawakua na nguo walikata majani ya mitende na kuyatandaza njiani ili Yesu aweze kupita huku wakiimba Hossana Hossana mbarikiwa
Hiiilikua ni kutimiza unabii ulionenwa na manabii na safari hii ya Yerusalem ilienda hadi ikulu ya Mungu
Katika somo hili tunajifunza mambo makuu yafuatayo;
1.       Safari ya bwana Yesu ambayo ilikua safari ya kimasihi ya kukamilisha utumishi wake hapa duniani.Yesu alifundisha, alihubiri na aliandaa mitume na kuokoa watu
2.       Tunajifunza kwamba Yesu anajua mambo yote kwa maana yeye ni Mungu kweli, hawezi kufichwa jambo lolote lile .Hakuna jambo unaloweza kumficha Mungu, mnaweza kuwaficha wanadamu lakini si kumficha Mungu Ufunuo 2: 2-3
3.       Vyote tulivyo navyo na sisi wenyewe ni mali ya bwana , mali , dhahabu, na sisi wenyewe ni mali ya Bwana ,akitaka anachukua wakati wowote autakao
4.       Wakuu wa makuhani na waandishi walikua na hasira juu ya Bwana Yesu. Hata leo hii kuna watu wanaojitahidi sana kuzima vipawa vya watu wengine na kuwakatisha tama.Sisi kama wakristo hatutakiwi kuzima taa au karama za wengine ila tuwatie moyo ili tusonge mbele katika kazi ya Bwana
Ibada hiyo iliongozwa na mchungaji Fue




No comments:

Leave a Reply