Latest News


More

Posted by : Unknown on : Friday, November 26, 2010 0 comments
Unknown
Saved under : ,

Hayawi hayawi hatimae yamekua .likua ni siku njema na ya tulivu kwa bwana Juma Kanena baada ya kufunga pingu za maisha al maarufu kama kupata mke au wengine wanasema kupata jiko.Shughuli hii ilifanyika nyumbani kwa wakwe zake huko Mbagala Charambe na baadaye mnuso wa nguvu ulifanyika katika hoteli ya Paradise iliyoko katika jengo la Benjamen Mkapa .Mnuso huu ulikua ni kwa marafiki na ndugu wa karibu kama inavyoonyesha kwenye picha hapo juu.Bwana Juma ni mfanyakazi wa Wizara ya mambo ya ndani na mke wake ni mwalimu.Big up Juma
Saved under : ,