Latest News


More

Mahafali CBE

Posted by : Unknown on : Wednesday, November 24, 2010 0 comments
Unknown
Saved under : ,

Jumamosi iliyopita tarehe 20/11/2010 chuo cha CBE kilifanya mahafali yake ya 45.Mmojawapo wa wadau waliograduate siku hiyo ni mdau wa blog hii Tumaini Kichila ambaye alipata Postgraduate Diploma ya Business Administration (sijui kiswahili chake ni nini)
Pichani mdau akiwa na my wife wake katika pozi Lilian Regis.Makofi kwake tafahali.Picha zaidi kama zinavyoonekana hapo juu