Latest News


More

TUKUMBUKE KUMSHUKURU MUNGU WETU

Posted by : Unknown on : Sunday, June 8, 2014 0 comments
Unknown
Saved under : ,





Wakristo tunapaswa kila wakati na kila mara kumrudishia Mungu utukufu kwa njia ya sadaka ya shukrwani kwa mambo mengi makubwa na mazuri ambayo anatutendea siku kwa siku
akizungumza kwenye ibada ya jumapili ya leo (ambayo iliongozwa na wanaume) mchungaji kiongozi wa
Usharika wa Mwenge wa kanisa la K.K.K.T Mchungaji Kaanasia Msangi alisema mara nyingi wakristo wanajisahau haswa pale ambapo Mungu anawatendea mambo mema

Pichani juu mchungaji kiongozi wa usharika wa Mwenge Mch Kaanasia Msangi akiwa na mzee Godlisten Lema wakiongoza maombi kwa wakristo waliomtolea Mungu shukrani zao za pekee

Pichani juu wakristo wakipewa baraka na mchungaji huyo wakati wakitoa shukrwani zao kwa mambo mengi ambayo Mungu amewatendea



 Pichani ni ndugu na marafiki waliowasindikiza wakristo hao ambao wamemtolea Mungu shukrwani katika ibada ya jumapili ya leo

No comments:

Leave a Reply