Latest News


More

MAONYESHO YA KIMATAIFA YA SABA SABA YAELEKEA UKINGONI

Posted by : Unknown on : Monday, July 8, 2013 0 comments
Unknown
Saved under : ,
 Maonyesho  ya kimataifa ya biashara maarufu kama saba saba yanaelekea kufikia mwisho baada ya kufanyika kwa zaidi ya wiki moja sasa
Maonyesho hayo yaliyofunguliwa na mfalme Mswati wa Swaziland yanatarajiwa kufungwa na waziri mkuuMheshimiwa Minego Pinda
 Watu wakiwa kwenye foleni kukata tiket za kuingia kwenye maonyesho hayo

 Evelyn Kichila akiwa kwenye shamba la Magereza ambalo lilikuwa na mboga mbalimbali zilizopandwa kisasa na kumea vizuri

 Watu wengi wakiwa kwenye maonyesho hayo


No comments:

Leave a Reply