Latest News


More

MCHUNGAJI KIULA AKEMEA WANAOMWIBIA MUNGU

Posted by : Unknown on : Monday, July 8, 2013 0 comments
Unknown
 Mchungaji Ordolus Kiula amekemea waumini ambao wanamwibia Mungu kwa kutomtolea zaka na fungu la kumi kama maandiko yanavyotaka wafanye
Mchungaji huyo alikua akihubiri katika ibada ya jumapili katika Usharika wa K.K.K.T - Mwenge na kusisitiza kama ili ubarikiwe inabidi umtolee Mungu sadaka kamili na kwa uaminifu

Mchungaji huyo ambaye yuko masomoni jijini Dar es salaam ni mchungaji wa Dayosisi ya Kusini ya Mashariki ya ziwa Victoria ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T)
 Mchungaji Kiula akiwa madhabahuni na Parish worker wa Usharika wa Mwenge Suzan Mwimbi ambaye ndiye aliyekuwa anasaidiana nae kwenye ibada hiyo


 Waumini mbalimbali wakiwa kwenye ibada hiyo ya jumapili
 Mzee Mushi (mbele aliyevaa shati jeupe) na mzee mama Chacha akiwa nyuma yake wakiwa kwenye ibada hiyo ya jumapili

No comments:

Leave a Reply