Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

USHARIKA WA SINZA WAFUNGUA KANISA LAO

Posted by : Unknown on : Wednesday, August 14, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


Usharika wa Sinza wa kanisa la K.K.K.T umefanya ibada ya uzinduzi wa kanisa lao jumapili hii.Ibada hiyo iliyoongozwa na mkuu wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) ASKOFU Dr.Alex Malasusa .Katika ibada hiyo iliyohudhuriwa na viongozi mbalimbali wa nje na ndani ya nchi akiwepo askofu mkuu wa kanisa la Kilutheri la Bavaria Ujerumani askofu Heinrich Bedford Strohm.Pia walikuwepo viongozi mbalimbali wa  Dayosisi akiwepo msaidizi wa askofu mchungaji Fupe, wakuu wa majimbo , wachungaji mbalimbali wa sharika za dayosisi, wageni waalikwa na washarika wa Usharika wa Sinza.Mchungaji wa Usharika wa Sinza ni mchungaji  Abraham Mchome (pichani juu akiwa na Askofu Dr Alex Malasusa)akisaidiana na mwinjilisti Emanuel Marko Manu na parish worker Ambokile Mwakatobe
Katika ibada hiyo iliyokuwa na wanakwaya mbalimbali kama vile ;
·         kwaya ya umoja ya Sinza,
·           kwaya ya watoto ya Sinza,
·         kwaya ya matarumbeta ya Wazo Hill,
·         kwaya ya Winners ya Ubungo na
·          kwaya ya Umoja ya jimbo la kaskazini
 Viongozi mbalimbali wa Dayosisi ya Masharika na Pwani wakiwa na wachungaji mbalimbali wa sharika pamojaPichani  kushoto mwa askofu mkuu Dr Alex Malasusa ni msaidizi wa askofu mchungaji Fupe, kulia kwa Dr Malasusa ni  askofu mstaafu wa Dayosisi hiyo mchungaji Elinaza Sendoro, msaidizi wa askofu mstaafu mchungaji  Yohana Marko



Kwaya ya matarumbeta ya Wazo Hill wakiongoza kuingia kwenye nyumba ya ibada tayari kuanza ibada hiyo



 Mkuu wa kanisa askofu Dr.Alex Malasusa akijiandaa kufungua Usharika wa Sinza
 Wachungaji mbalimbali, washarika wakimsikiliza mkuu wa kanisa Dr.Malasusa wakati akiongoza liturjia ya ufunguzi wa kanisa la Usharika wa Sinza
 Mkuu wa kanisa Askofu Dr Alex Malasusa akisoma neno la Mungu wakati wa ufunguzi wa Usharika wa Sinza


Mkuu wa Kanisa  Askofu Dr Alex Malasusa akiweka wakfu vyombo mbalimbali vitakavyotumika madhabahuni katika Usharika wa Sinza
 Washarika mbalimbali wakifuatilia ibada ya uzinduzi wa Usharika wa Sinza.Pichani mwenye miwani ni mzee Manase mwana wa Ndanshau








Waumini mbalimbali wakifuatilia ibada hiyo ya uzinduzi

 Askofu mkuu wa kanisa la Kilutheri Bavaria Ujerumani mchungaji Heinrich Bedford Strohm akihubiri kwenye ibada hiyo.Pembeni yake ni mkuu wa jimbo la kaskazini mchungaji Anta Muro akitafsiri mahubiri hayo
Walikuwepo wageni mbalimbali wa ndani na nje ya nchi kama raia hawa  toka Ujerumani wanavyoonekana

 Askofu mstaafu wa DMP askofu Elinaza Sendoro akizungumza kwenye ibada hiyo



Kwaya kuu ya Usharika wa Sinza wakiimba kwenye ibada hiyo

Kwaya ya watoto wa shule ya jumapili wakiimba kwenye ibada hiyo

No comments:

Leave a Reply