Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

WASHARIKA WA SINZA WAWAZAWADIA VIONGOZI WAO

Posted by : Unknown on : Wednesday, August 14, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
 Washarika wa Usharika wa Sinza wa K.K.K.T jumapili iliyopita waliwazawadia viongozi mbalimbali wa Usharika wao na wazee wa kanisa ambao wamewahi kuhudumu katika Usharika Huo.Viongozi hao waliozawadiwa ni ambao wamewahi kuongoza kanisa hilo tangu kuanzishwa kwake  wakati wakisali katika shule ya msingi mashujaa mkapa kuweza kununua godown ambalo lilivunjwa na kujengwa kanisa kubwa na la kisasa
Utoaji wa zawadi hizo ulifanyika katika ibada ya uzinduzi wa Usharika wao huo.Katika ibada hiyo iliyoongozwa na mkuu wa kanisa la K.K.K.T Dr Alex Malasusa na viongozi mbalimbali wa Dayosisi.
Pichani juu askofu mstaafu wa Dayosisi hiyo Mchungaji Elinaza Sendoro akipokea zawadi kutoka kwa mkuu wa kanisa Dr Alex Malasusa.Nyuma ni mkuu wa jimbo la Kaskazini mchungaji Anta Muro



 Mzee Manase Mwana wa Ndanshau akiwa na mke wake nao walizawadiwa zawadi.Pichani juu ni mzee Manase mwana wa Ndanshau akimpa mkono mkuu wa kanisa askofu Dr.Alex Malasusa.Pembeni ni mke wake.
Chini ni mzee Manase mwana wa Ndanshau  na mke wake wakiwa kwenye picha ya pamoja na mkuu wa kanisa na pembeni ni mchungaji kiongozi wa Usharika wa Sinza mchungaji Mchome
Viongozi mbalimbali walipata zawadi kama shukrwani kwa kazi nzuri ya ujenzi wa nyumba ya bwana


















No comments:

Leave a Reply