Latest News


More

JE BIBLIA NI KITABU CHA WAZUNGU TU?

Posted by : Unknown on : Monday, September 16, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :

Je, Biblia Ni Kitabu cha Wazungu?

Jibu la Biblia

Biblia haikuandikwa na wazungu. Wanaume wote ambao Mungu alitumia kuandika Biblia walitoka Asia. Biblia haifundishi kwamba jamii moja ni bora kuliko nyingine. Hata inasema hivi: “Mungu hana ubaguzi, bali katika kila taifa mtu ambaye anamwogopa na kutenda uadilifu anakubalika kwake.”—Matendo 10:34, 35.

No comments:

Leave a Reply