Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

JUMAPILI HII NI SIKUKUU YA WATOTO KATIKA KANISA LA K.K.K.T DAYOSISI YA MASHARIKI NA PWANI

Posted by : Unknown on : Friday, September 27, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
 Kanisa la K.K.K.T Dayosisi ya Mashariki na Pwani watafanya ibada maaluma ya watoto (Michael na watoto) jumapili hii.Katika Ibada hiyo itakayoongozwa kwa sehemu kubwa na watoto hua kunakuwa na mambo mbalimbali wanayofanya watoto wa shule ya jumapili (Sunday School) kama vile uimbaji, ngonjera, mashairi na hata maigizo
Pichani juu watoto wa shule ya jumapili wa Usharika wa Mwenge wakiwa kwenye maandalizi ya jumapili usharikani kwao Mwenge
Mbele ni mmoja wa waalimu hao mwalimu Eliajua Mziray akifundisha watoto hao.
Aliyesimama katikati ya watoto hao ni mwalimu mkuu wa watoto hao mwalimu Suzan Mwimbi ambaye pia ni parish Workea wa Usharika huo
 Watoto hao wa Mwenge wanaongozwa na waalimu wafuatao
1.Mwalimu Suzan Mwimbi - ambaye ndiye mwalimu mkuu wa watoto hao
2.Mwalimu Fanuel Jackson Imbele - ambaye ni mwalimu wa music
3.Mwalimu Eliajua Mzira

Watoto hao hao wana nyimbo tatu maalum ambazo wataimba katika ibada hiyo nazo ni;
1.Tanzania yetu - uliotungwa na mwalimu Fanuel
2.Tazama Dunia - uliotungwa na Mwalimu Suzan  (ametunga na ngonjera pia)
3.Enyi wazazi - Uliotungwa na mwalimu Fanuel








No comments:

Leave a Reply