Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

WAALIMU WA SHULE YA JUMAPILI WAPEWA ZAWADI USHARIKANI MWENGE

Posted by : Unknown on : Sunday, September 29, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


WAALIMU WA SHULE YA JUMAPILI WAPEWA ZAWADI USHARIKANI MWENGE

Katika ibada ya jumapili hii katika Usharika wa Mwenge (ambayo ilikua ni maalum kwa ajili ya watoto) waalimu wa shule ya jumapili  walizawadiwa mbalimbali kwa kazi nzuri ya kuwalea watoto wa shule ya jumapili

 Akiznungumza katika ibada hiyo katibu wa baraza la wazee la usharika huo mzee Kombe alisema waalimu hao wana kazi kubwa sana ya kuwalea watoto hao kiroho, hivyo ni jukumu letu kama kanisa kuwaombea na kuwapongeza kwa kazi kubwa na nzito wanayoifanya
Usharika wa Mwenge una jumla ya wanafunzi 150 ambao hutoa wastani wa shilingi 25,000 kwa kila jumapili
Waaalimu wanaowafundisha wanafunzi hao ni 7 tu
Waalimu hao walizawadiwa zawadi mbalimbali pamoja na barua ya shukrani











 Mwalimu Mhoza akitoa neno la shukrani kwa niaba ya waalimu wenzake


No comments:

Leave a Reply