Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

KUMTOLEA BWANA KAMA FURSA YA KUMTUMIKIA MUNGU - MWINJILIST GODLIZEN MUSHI

Posted by : Unknown on : Sunday, October 27, 2013 0 comments
Unknown
KUMTOLEA BWANA KAMA FURSA YA KUMTUMIKIA MUNGU


Mwinjilisti wa kujitegemea Godilizen Mushi akihubiri katika ibada ya jumapili usharika wa Mwenge leo alisema kumtolea bwana ni fursa ambayo Mkristo anatakiwa kuitumia kumtumikia Bwana

Mithali 3:9

Mali inaweza kusababisha kumdharau au kumheshimu Mungu wako

Mungu anataka tumheshimu kwa mali zetu

Akinukuu katika biblia mtumishi huyu alisema kuna sikukuu kuu tatu za kumtumikia mungu ambazo ni;

1.Sikukuu ya mavuno

2.Sikukuu ya Pasaka

3.Sikukuu ya kukumbuka kuzaliwa kwa Bwana Yesu Kristo

Hizi ni sikukuu kuu tatu ambazo hufanyika mara moja kwa mwaka.Tofauti na sikukuu nyingine ambazo hufanyika zaidi ya mara moja

1Nyakati 29:10-14

Vitu vyote tulivyo navyo vyatoka kwa Mungu.Ukija kwa Mungu huwezi kujiuliza umtoleeje Mungu au umtulee nini Mungu

Mungu ametupa dhamana ya kuvitunza vito vyote tulivyo navyo

Swala la kujiuliza ni je Mungu amekubarikia nini?

Ukishajiuliza ndiyo ujue utamtolea nini Mungu wako

Familia ijifunze jinsi ya kumtolea Mungu;kumtolea Mungu sio fever kwa Mungu, kwani humpi Mungu fever bali unamrudishia Mungu shukrwani

FUNGU LA KUMI

Ukiwa una shilingi 1,000,000 ukamtolea Mungu 10,000, mwezi unaofuata anaweza akakupa shilingi 100,999;kwani ndio kiwango chako cha kumtolea Mungu

Luka 21: 1-4

Ubora wa sadaka hupimwa kwa kile ulichobaki nacho na wala si kile ulichomtolea Mungu

Unavyomtolea Mungu lazima uangalie kile ulichobaki nacho au ulichoacha nyumbani kwako

Kama umebarikiwa sana basi utoe vingi na kama umebarikiwa kidogo vivyo hivyo umtolee Mungu kwa kadri alivyokubariki

Sadaka yako na iwe neema kwako na kwa familia yako na wala si laana alimalizia mwinjilisti Mushi

Ibada hiyo iliongozwa na mchungaji kiongozi wa Usharika huo mchungaji Kaanasia Msangi

Pia katika ibada hiyo kulikua na ushiriki wa chakula cha Bwana kwa ibada zote tatu

Ibada ya kwanza inaanza saa 12: 00 asubuhi, Ibada ya pili inaanza saa 1:00 asubuhi na ibada ya tatu inaanza saa 4:00 asubuhi.Ibada ya pili nay a tatu zinaambatana na shule ya jumapili

No comments:

Leave a Reply