Latest News


More

Posted by : Unknown on : Friday, June 3, 2011 0 comments
Unknown
Hakika Mungu wa ajabu
Kama huamini kama Mungu yupo waweza basi kuamini hata kwa uumbaji na maajabu yake.Katika hali ya kawaida ni vigumu kukuta mti , au mto wenye taswira ya mtu au kitu unachokijua.
Hayo ndiyo maajabu ya uumbaji wa Mungu
Fuatilia picha hizi hapa chini uone uumbaji wa Mungu na maajabu yake.