Latest News


More

JUHUDI ZA KUMUOKOA MTOTO KANISANI

Posted by : Unknown on : Thursday, March 27, 2014 0 comments
Unknown
Mtoto aliyejeruhiwa na risasi iliyomuua mama yake katika shambulio lililofanywa kwenye kanisa la JOY OF JESUS Likoni Mombasa Nchini Kenya jumapili amefikishwa jijini Nairobi kwa Ndege .
Satrin Osinya mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu anatarajiwa kufanyiwa upasuaji wa kichwa katika Hospitali kuu ya Kitaifa ya Kenyatta ili kuondoa risasi iliyoingia kwenye ubongo wake baada ya kumuua mama yake .
(Source: Bbc Swahili)

No comments:

Leave a Reply