Latest News


More

IBADA YA LEO KANISA LA K.K.K.T USHARIKA WA MWENGE

Posted by : Unknown on : Sunday, August 31, 2014 0 comments
Unknown
 Jumapili ya leo imefanyika ibada nzuri katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Mwenge ambayo imeongozwa na viongozi wa Usharika huo mchungaji Kaanasia Msangi na mwinjilisti Ane Mwigune
Pichani juu mchungaji Kaanasia Msangi akihubiri na chini ni baadhi ya waumini wakifuatilia mahubiri hayo jumapili ya leo

No comments:

Leave a Reply