Latest News


More

UZINDUZI WA ROSE MUHANDO ULIVOFANA DIAMOND JUBELEE

Posted by : Unknown on : Tuesday, August 12, 2014 0 comments
Unknown
 Jumapili iliyopita mwimbaji nguli wa muziki wa injili nchini Tanzania Rose Muhando alidanua uzinduzi wa nguvu katika ukumbi wa Diamond Jubilee wa album yake inayoitwa "Kamata Pindo la Yesu"
Katika uzinduzi huo uliohudhuriwa na maelfu ya wananchi wa jiji la Dar na vitongoji vyake , mgeni rasmi alikua mheshimiwa Fredrick Sumaye (waziri mkuu mstaafu)
Pichani juu mwimbaji Rose Muhando akiimba jukwaani


 Mheshimiwa Sumaye akizindua album hiyo siku hiyo
 Pichani juu na chini ni maelfu ya wananchi waliohudhuria uzinduzi huo






 Rose Muhando akiwajibika jukwaani
Mheshimiwa Sumaye akimpongeza Rose Muhando kwa uimbaji wake mzuri wa kumsifu Mungu

No comments:

Leave a Reply