Latest News


More

UBATIZO KATIKA USHARIKA WA KINONDONI WA KANISA LA K.K.K.T

Posted by : Unknown on : Sunday, September 28, 2014 0 comments
Unknown


 Leo katika Usharika wa Kinondoni wa kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Umefanyika ubatizo wa mtoto mdogo mmoja
Katika Ibada hiyo ambayo kwa kiasi kikubwa umeratibiwa na watoto ambapo leo ilikua ni sikukuu ya Mikael na watoto
Pichani juu mtoto huyo akibatizwa na mchungaji kiongozi wa Usharika huo
Kutoka kulia mdhamini wa mtoto Bwana Godilisten Lema , mkewe Godilisten Lema, na mama wa mtoto akifuatiwa na baba wa mtoto bwana Gerald Kimaro

Mtoto Josiah Kimaro akibatizwa jumapili ya leo





No comments:

Leave a Reply