Katika harambee hiyo ambayo pia ilihudhuriwa na wageni waalikwa mbalimbali iliongozwa na msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ys Mashariki na Pwani mchungaji George Fupe
Katika mahubiri yake mchungaji Fupe alihimiza wazazi kuwalea watoto katika njia inayompasa na kumpendeza Mungu kwani ndio wakristo wa kanisa wa miaka ijayo.
Alitoa mfano kuwa aliwahi kutembelea nchi moja ya Ulaya na kukuta waumini kanisani ni wazee tu vijana hawaendi kanisani, na hii ni kwa sababu wazazi hawakuwaandaa watoto wao kumfuata Mungu
Aliwaasa waumuni wa Mwenge kuwa bila kuwaongoza watoto na vijana katika kumjua Mungu kanisa na nyumba ya Mungu wanayoijenga itakosa waumini katika miaka ijayo
Katika ibada ya harambee hiyo mheshimiwa Lowasa alichangia taslimu shilingi milioni 30.7 yeye pamoja na marafiki zake
Baadhi ya waumini wakiwa ibadani
Tatizo la umeme nalo lilikuwepo lakini mafundi walirekebisha na kuwasha generator ambalo liliokoa jahazi
Mafundi wakirekebisha generator baada ya umeme kukatika
Kwaya ya Upendo ( ya wamasai) nayo ilikuwepo kuhamasisha ujenzi siku hiyo
Waumini wakitoa sadaka ibadani
Waumini wakiendelea kutoa sadaka
Kwaya ya Uinjilisti Usharika wa Mwenge wakiimba ibadani
Mwalimu Mushi wa kwaya ya Uinjilisti akiongoza waimbaji wake kuimba siku hiyo
Wanakwaya wa Ubungo wakirudi kukaa baada ya kuimba
Mc wa harambee hiyo Manase Ndanshau akimshukuru Mheshimiwa Lowasa mara baada ya kutoa mchango wake
Msaidizi wa askofu akiwa na mgeni rasmi Mh.Lowasa na M mc wa siku hiyo ambayo walitoka Usharika wa Sinza na Kijitonyama
Waumini wakitoa ahadi zao mbele ya mgeni rasmi
Mwana blog hii Tumainui Kichila naye alikuwepo kutoa ahadi yake mbele ya mgeni rasmi
Mc akihamasisha waumini kutoa ahadi zao
Vitu mbalimbali vililetwa kwa ajili ya mnada kama vile mahindi, mafuta ya kupikia, mbuzi, kuku na picha mbalimbali
Mc akimshukuru mke wa Mheshimiwa Lowasa baada ya kununua kitu katika mnada huo
Msaidizi wa askofu akiwashukuru ma Mc wa siku hiyo kwa kazi nzuri bara baada ya mnada kumalizika
Waumini wakitoa ahadi zao mbele ya mgeni rasmi