Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

RAIS BARAK OBAMA WA MAREKANI YUKO TANZANIA SASA

Posted by : Unknown on : Monday, July 1, 2013 0 comments
Unknown
Saved under : ,
 Rais wa Marekani bwana Baraka Obama hatimae amewasili nchini Tanzania kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili.Rais huyo aliwasili mida ya saa nane na nusu mchana na kulakiwa na mwenyeji wake Rais wa Tanzania mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na viongozi mbalimbali wakuu wa serikali.Rai Obama (pichani juu) aliambatana pamoja na watu wengine mke wake na mabinti zake wawili
Viongozi mbalimbali waliongozana na rais Kikwete ambao ni rais wa Zanzibar Mheshimiwa Dr Shein, waziri mkuu mheshimiwa Peter Pinda na viongozi wengine waandamizi wa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania
 Rais Obama akisalimiana na mwenyeji wake Rais Kikwete wa Tanzania mara baada ya kuwasili uwanja wa wa ndege

Rais Obama akikagua gwaride lililoandaliwa na jeshi la wananchi wa Tanzania

Mkuu wa Majeshi wa Tanzania Jenerali Mwamunyange akisalimiana na  rais Barak Obama wa Marekani


 Rais Obama akisalimiana na rais wa Zanzibar mheshimiwa Dr Shein
 Rais Obama akifurahia ngoma mbalimbali ambazo zilikuwa zikitumbuiza uwanjani hapo.Pembeni ni mwenyeji wake Rais Kikwete, mke wa Rais Obama Michele na mke wa rais Kikwete  mama Salma Kikwete
Rais Obama akifurahia ngoma pamoja na mwenyeji wake rais wa Tanzania mheshimiwa Kikwete mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege
 Rais  Kikwete na mgeni wake rais Obama wakiingia ikulu huku akilakiwa na watu mbalimbali waliofika maeneo ya ikulu kumlaki

 Rais Obama akisalimiana na watu mbalimbali waliofika kumlaki katika viwanja vya ikulu mara baada ya kuwasili

 Rais Obama na mwenyeji wake rais Kikwete wakiongea na waandishi wa habari katika viwanja vya  ikulu
 Rais Obama na mwenyeji wake rais Kikwete akijiandaa kupanda mti wa ukumbusho katika maeneo ya ikulu mara baada ya kuwasili ikulu
Rais Obama akiweka udongo kwenye mti wa kumbukumbu mara baada ya kuupanda jana katika viwanja vya  ikulu

No comments:

Leave a Reply