Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

DR.ALEX MALASUSA APONGEZWA NA WASHARIKA WA MWENGE

Posted by : Unknown on : Thursday, August 8, 2013 0 comments
Unknown
Mkuu wa kanisa la K.K.K.T na askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Malasusa amepongezwa na Wasahrika wa Mwenge kwa kuchaguliwa kwake kuwa mwenyekiti mpya wa CCT.Pongezi hizo ambazo ziliambatana na keki ya ndafu pamoja na chakula cha mchana ilihudhuriwa pia na naibu waziri wa katiba na sheria mheshimiwa Angela Kairuki, msaidizi wa askofu mchungaji Dean Fupe na baadhi ya wachungaji wa sharika mbalimbali za jimbo la kaskazini la Dayosisi ya Mashariki na Pwani ambao walikua kwenye ibada ya harambee katika usharika huo wa Mwenge

Hafla hiyo fupi ilifanyika katika maeneo ya kanisa la Usharika wa Mwenge .Pichani juu katibu mkuu wa Usharika wa Mwenge Mzee Kombe akimkaribisha askofu Dr Malasusa kukata keki hiyo

 Naibu waziri wa katiba na sheria mheshimiwa Angela Kairuki akichukua chakula kwenye hafla hiyo
 Wageni mbalimbali wakichukua chakula kwenye hafla hiyo


 Meza ya mgeni rasmi askofu Dr Malasusa wakipata chakula cha mchana .Kushoto kwake ni amsaidizi wa askofu Mch Fupe na kulia kwake ni naibu waziri wa katiba na sheria mh.Angela Kairuki



 Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge mch.Kaanasia Msangi akiwakaribisha wageni na kuwaeleza dhumuni la hafla hiyo
 Katibu wa baraza la wazee la Usharika wa Mwenge mzee Kombe akimkaribisha mgeni rasmi kwenye hafla ya kumpongeza kuwa mwenyekiti wa CCT
 Wageni mbalimbali wakifuatilia hafla hiyo ambayo ilikua pia na tendo la ukataji wa keki (ndafu)


 Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya kumpongeza mkuu wa kanisa la K.K.K.T askofu Dr Alex Malasusa
 Askofu Dr Malasusa akikata keki hiyo iliyoandaliwa kwa ajili ya kumpongeza

 Askofu Dr Malasusa akifurahia keki hiyo baada ya kuila.Kushoto kwake ni naibu waziri Mh.Angela Kairuki, katibu wa Usharika wa Mwenge mzee Kombe na mama Palangyo ambaye naye ni mzee wa Usharika wa Mwenge
 Naibu waziri mh.Angela Kairuki naye akifurahia keki hiyo
 Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge naye akifurahia keki hiyo.Pembeni ni mgeni rasmi askofu Malasusa akiwashukuru washarika wa Mwenge kwa kumwandalia hafla hiyo ya kumpongeza

No comments:

Leave a Reply