Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

Makubwa! Wahadzabe wanapofunga shule waende harusini

Posted by : Unknown on : Monday, August 12, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
Mkunga huyo anasema mara kwa mara Serikali imekuwa ikipeleka mbegu au zana za kilimo, lakini wao (Wahadzabe) wameishia kuacha vitu hivyo na kuhamia katika mapori yenye utajiri mkubwa wa matunda, mizizi na asali.
Mtuwa anasema serikali inafanya vibaya kuwaamrisha kufanya shughuli za kilimo na kuwapa masharti kuwa wasipolima watakosa misaada muhimu.
“Wanapotuambia tulime na kutupa masharti magumu ni kama wanatuonea. Mizizi na asali ndiyo asili yetu,” anasema.
Afya ya uzazi

Hata katika masuala ya uzazi, Wahadzabe wanaamini kuwa kujifungulia nyumbani ni salama zaidi kuliko katika hospitali. Aya Doffo wa Kijiji cha Sengere anasema katu hataki kujifungua katika hospitali kwani anaamini huko anaweza hata kupoteza maisha.
“Waswahili wanajifungua kwa taabu, wanalala hospitali wakati mwingine wanapasuliwa tumbo, sisi hatutaki hata siku moja kuzalia huko,” anasema Aya kwa Kiswahili cha kubahatisha.
Richard Baallow, ambaye ni kiongozi wa Wahadzabe anasema hivi sasa huduma za uzazi kwa njia ya simu zimewekwa katika maeneo ya Yaedachini na Domanga kwa ajili ya wanawake wanaopata matatizo wakati wa kujifungua.
“Hapa hakuna hospitali, lakini yupo daktari anayetumia ndege (flying doctor) ambaye hufika hapa (Domanga) mara moja kwa mwezi kuwaangalia wanawake wajawazito,” anasema.
Anasema ipo simu maalum ambayo hutumika kumtaarifu daktari huyo aliye katika Hospitali ya Hydom, Wilayani Mbulu pindi linapotokea tatizo wakati wa kujifungua.
Uchunguzi unaonyesha kuwa asilimia 90 ya wanawake katika vijiji vya Wahadzabe wanajifungua nyumbani, lakini ni wachache wanaopata matatizo ya uzazi.

Ni vigumu kwa Mhadzabe kuumwa na wachache mno wanaopata fursa ya kuonana na tabibu. Hata hivyo, baada ya mwingiliano wa makabila mengine, maradhi kama kifua kikuu yameanza kuwaathiri.

Suala la elimu kwa watu wa jamii ya Wahadzabe bado lina safari ndefu.
Vijana wa Kihadzabe aidha bado hawajaufahamu umuhimu wa elimu au mila na desturi zao zimekuwa ni kikwazo kwako.

(Habari:Mwananchi Communication)


No comments:

Leave a Reply