Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

BARAKA MANGESHO ATIMIZA MWAKA MMOJA

Posted by : Unknown on : Saturday, September 28, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :
 Jana ilikua ni siku ya furaha kwa familia ya Pius Mangesho wa Mwenge kwa mtoto wao Baraka kutimiza mwaka mmoja.Sherehe ya birthday ya mtoto wao ilifanyka nyumbani kwao Mwenge na kuhudhuriwa na ndugu na jamaa wa karibu pamoja na watoto mbalimbali wa jirani
 Pichani juu ni zawadi zilizoandaliwa kwa watoto waliohudhuria sherehe hiyo
 Keki maalum iliyoandaliwa kwa ajili ya mtoto Baraka
 Bwana Mangesho na  mke wake wakiandaa keki kwa ajili ya mtoto wao Baraka
 Watoto mbalimbali waliohudhuria sherehe hiyo

 Mtoto Baraka akizima mshumaa


 Mtoto Baraka akijiandaa kukata keki maalum iliyoandaliwa kwa ajili yake
 Mtoto Baraka akimlisha keki bibi yake
 Mtoto Baraka akimlizha keki baba yake mzazi Bwana Pius Mangesho
 Evelyn Kichila naye alipata nafasi ya kulishwa keki na Baraka
 Mtoto Baraka akimlisha keki mama yake mzazi
 Mtoto Baraka akimlisha keki binamu wa baba yake mama Yunis
 Watoto waliojumuika pamoja wakifurahi na mtoto baraka katikati,
 Bwana Mangesho na ke wake wakiwa na mtoto wao Baraka
 Ulifika walkati wa zawadi na hapa anaonekana Evelyn Kichila akimpa mtoto baraka zawadi yake
 Zawadi zinaendelea kumiminika

Shemeji yake Mangesho akiwa na mama Eunice  wakiwa na mtoto
Baraka.Hakika ilikua ni siku ya furaha kwa familia hii
Mtandao wa Tumaini Letu unamtakia kila la kheri na baraka tele Mtoto Baraka!!

No comments:

Leave a Reply