Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

Wanamageuzi Katoliki wamtega Papa Francis

Posted by : Unknown on : Saturday, September 28, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :

Paris, Ufaransa. Harakati za kutaka mabadiliko makubwa ndani ya Kanisa Katoliki zimezidi kushika kasi baada ya kundi la waumini wanaojiita wanamageuzi kumwandikia barua Papa Francis, wakiomba akutane nao kuzungmzia mustakabali wa kanisa hilo.
Wanamageuzi hao kupitia kundi lao lenye vikundi vidogo 100 vya Wakatoliki wanataka suala lao liwe sehemu ya mazungumzo baina ya Papa Francis na kamati yake ya ushauri yenye makadinali wanane yanayofanyika wiki ijayo.
Papa Francis anatarajiwa kukutana na makadinali hao wanaounda Baraza lashauri kati ya Oktoba 1-2 mjini Vatican kwa lengo la kuangalia mageuzi katika uendeshaji wa kanisa hilo.
Hadi sasa, haijulikani endapo Papa Francis ataafiki ushauri wa wanamageuzi hao au la.
Katika mkutano huo, Papa Francis na bodi yake wanatazamiwa kuangalia sera mbalimbali zinazohusu uendeshaji wa kanisa hilo. Makadinali hao wanane wanatoka Italia,Chile,India,Ujerumani, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo (DRC), Marekani, Australia na Honduras.
Msemaji wa kundi hilo la wanamageuzi kutoka mataifa mbalimbali duniani, Rene Reid ameeleza kuwa matumaini yao ni kwa kiongozi huyo wa kanisa kukubali kukutana nao.
Kundi hilo lina Wakatoliki kutoka nchi mbalimbali zinazozungumza Kiingereza pamoja na Ujerumani, Austria, Ufaransa, Poland, Hispania na India.
Barua hiyo inaorodhesha mambo ambayo Papa Francis aliyechaguliwa Machi amekuwa akitaka yafanyiwe marekebisho na mengine ambayo tayari amepingana nayo.
Katika mahojiano mbalimbali wiki iliyopita, Papa Francis amezungumzia mambo ambayo angependa yafanyiwe marekebisho na kanisa,ingawa siyo yale yanayohusu mafundisho na kumsihi aishi kwa matendo ahadi zake.

No comments:

Leave a Reply