Latest News


More

WAKRISTO WA USHARIKA WA MWENGE WASHIRIKI CHAKULA CHA BWANA

Posted by : Unknown on : Tuesday, November 26, 2013 0 comments
Unknown
 Wakristo wa Usharika wa Mwenge wa kanisa la K.K.K.T jumapili iliyopita walishiriki meza ya bwana (chakula cha bwana) katika ibada zote mbili.
Katika ibada hiyo pamoja na mambo mengine kulukua na mambo makuu yafuatayo
1.Kufunga ndoa za pamoja.Ndoa nane zilifungwa kwa pamoja
2.Ubatizo wa mtu mmoja
3.Shukrwani ya pekee
3.Sherehe ya kuwapongeza maharusi ambayo ilifanyika mara baada ya ibada katika viwanja vya kanisa
Pichani juu na chini waumini wakishiriki meza ya bwana.







No comments:

Leave a Reply