Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

IJUE SIRI ILIYOPO KATIKA UTOAJI WA SADAKA

Posted by : Unknown on : Sunday, February 9, 2014 0 comments
Unknown


Akihubiri katika ibada ya jumapili hii katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Mwenge mwinjilisti Jonas Gwemelu (pichani juu) wa Usharika wa Wazo alisema katika  somo la wiki iliyopita tulijifunza mambo yafuatayo katika utoaji
1.Kwa nini tunatoa sadaka
2.Kwa nini Mungu anaruruhusu tutoe sadaka
3.Sifa ya mtoaji wa sadaka
Utoaji wa sadakani ile hali ya kutambua kwamba kila ulicho nacho chatoka kwa Mungu
Hivyo unapotoa unamrudishia Mungu utukufu na kuonyesha shukrani kwake
Kut 25:1-9
Mungu anapokutana na wewe hakutani na wewe tu bure kwani kuna kitu anataka kukifanya juu au ndani yako
Mat :5 – Inatufundisha kuwa watu walitoa sadaka isiyomfurahisha Mungu.. hii inaonyesha kuwa si kila sadaka Mungu anaipokea
Sadaka ni kitu muhimu kwa Mungu
Luka 12:32
Hapa Yesu anaangalia sadaka kama kitu cha thamani kuliko vitu vyovyote  alivyo navyo mwanadamu
Anawashauri  watu wauze walivyo navyo vyote watoe sadaka; ina maana vyote walivyo navyo wanadamu havina thamani yoyote kama sadaka
Hagai 1: 6-7
Sadaka inategemea nguvu kwa mtoaji na kumpa Baraka
Yesu anasema viuuzeni vyote mlivyo navyo mtoe sadaka na msijifanyie mifuko isiyochoka
Unapotoa sadaka  ni kama unaweka akiba ya baadaye itakayokusaidia kuja kutimiza malengo yako ya baadaye
Mfano wa Kornelio;Mungu aliona Kornelio ana shida akamwambia sala zako na sadaka zako zimenifikia alisema mwinjilisti Jonas
Mwinjilisti Jonas alisema unapotoa sadaka unaweka maisha yako ya kiroho mahali pa salama
Ibada hiyo iliongozwa na mwinjilisti wa usharika wa Mwenge mwinjilisti Mwigune na somo lilifundishwa na mwinjilisti Jonas Gwemelu toka usharika wa Wazo

Washarika wakiwa kwenye ibada hiyo ya jumapili katika Usharika wa Mwenge






 Washarika wakiwa kwenye ibada hiyo ya jumapili

No comments:

Leave a Reply