Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

KANISA KATOLIKI KORTINI NCHINI POLAND

Posted by : Unknown on : Friday, February 7, 2014 0 comments
Unknown

Mwanaume mmoja kutoka Poland aliyedhulumiwa kimapenzi na padri mmoja akiwa mdogo ndiye mtu wa kwanza katika taifa hilo kujitokeza na kudai fidia kutoka kwa kanisa katoliki.


Mwaka uliopita ,Kanisa Katoliki liliwaomba radhi watu wote waliodhulumiwa kimapenzi na mapadri kote ulimwenguni.




Wakatoliki
Hata hivyo kanisa hilo lilitupilia mbali hoja ya kuwafidia maelfu ya watoto waliodhulumiwa na makasisi na mapadri wa kanisa hilo.

Padri aliyemdhulumu mtu huyo anayefahamika kama ,Marcin K ,tayari anatumikia kifungo cha miaka miwili jela.
Marcin K anaiomba mahakama kitita cha dola elfu sitini na tano za marekani.
Kesi yake ya kutaka fidia imedhaminiwa na mashirika yanayopigania haki za kibinadamu .

Jumatano iliyopita tarehe 5 februari , Umoja wa Mataifa uliishtumu Kanisa katoliki kwa kuendeleza sera ya kuwaficha mapadri na makasisi waliowadhulumu maelfu ya watoto ndani ya kanisa katoliki kote duniani.

No comments:

Leave a Reply