Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

WASHAMBULIANA NDANI YA HEKALU NCHINI INDIA

Posted by : Unknown on : Friday, June 6, 2014 0 comments
Unknown

Mzozo ndani ya Hekalu India


Watu kadhaa wamejeruhiwa baada ya makundi ya waumini wa madhehebu ya Sikh wakiwa wamejihami kwa mapanga kushambuliana ndani ya hekalu nchini India.

Mapigano hayo yalitokea huku maombi maalum yakifanyika kuadhimisha operesheni mbaya ya kijeshi iliyofanyika mwaka 1984.


Duru zinasema kuwa makabliano katika hekalu hilo linalosifika sana kama eneo takatifu zaidi kwa waumini wa  Sikh, yalitokea kufuatia utata kuhusu nani engehutubia wa kwanza.

Inaarifiwa waumini walianza kupigania kipaza sauti ndiposa vurugu zikaanza.

Picha za ukanda wa Video zinonaonyesha wanaume wakikimbia na kutoroka kutoka dhehebu hilo baadhi wakiwa na mapanga tayari kwa vita.
Duru zinasema angalau watu watatu wamepelekwa hospitalini wakiwa na majeraha.

Serikali ya India inasema kuwa watu 400 na wanajeshi 87 waliuawa katika operesheni ya jeshi iliyofanyika kuwaondoa waumini wa Sikh waliokuwa wanapigania kujitenga mwaka 1984.

Mauaji yalifanyika katika hekalu hilo lijulikanalo kama Golden Temple.

Lakini wasikh wenyewe wanasema kuwa idadi ya waumini waliofariki ilifika watu 1,000.

Hii leo mamia ya Wasikh walikusanyika katika hekalu hilo kuwakumbuka wale waliofariki miaka 30 iliyopita , lakini sherehe za maadhimisho zilisambaratika na kugeuka fujo.

''Kwa mara nyingine, hekalu limekosewa heshima,'' alisema Prem Singh Chandumajra, msemaji wa chama tawala katika jimbo la Punjab.

Bwana Chandumajra alisema kuwa makabiliano katika Hekalu hilo, ni jambo la kukemewa na kuwa wakuu wa hekalu watawachukulia hatua wale waliohusika.

No comments:

Leave a Reply