Latest News


More

IBADA YA WANAUME KUFANYIKA KESHO KANISA LA K.K.K.T USHARIKA WA MWENGE

Posted by : Unknown on : Saturday, June 7, 2014 0 comments
Unknown
Kesho jumapili tarehe 08/06/2014 katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Mwenge itafanyika ibada maalum ambayo itaongozwa na wanaume
Akitangaza kwenye ibada ya jumapili iliyopita mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge Mchungaji Kaanasia Msangi (pichani juu) aliwaambia washarika hao kuwa kwa mara ya kwanza ibada ya jumapili hii itaongozwa na wanaume.Katika ibada hizo ambazo zitakua ni mbili tu (ile ya saa 12 asubuhi na ya pili itakayoanza saa 1.30 na ambayo pamoja na mambo mengine itakua na igizo na kwaya ya wanaume

Mtandao huu unawatakia kila la kheri wanaume wa Mwenge kwa maono hayo ya kuwa na siku maalum ya wanaume usharikani wkao

No comments:

Leave a Reply