Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

JE UNAJUA MWANZO WA RANGI TOFAUTI ULITOKA WAPI

Posted by : Unknown on : Wednesday, July 2, 2014 0 comments
Unknown
Saved under : ,


 
Bibilia kwa ukamilifu haituelezi mwanzo wa “rangi” au rangi ya ngozi tofauti ya mwanadamu. Kwa ukweli, kuna kizazi kimoja cha mwanadamu. Katika kizazi cha mwanadamu kuna utafauti wa rangi ya ngozi na hali za nche zinazoonekana. Wengine wanadhania kuwa, wakati Mungu alichanganyisha lugha katika mnara wa Babeli (Mwanzo 11:1-9), pia aliumba rangi tofauti. Inaweza wezekana kuwa Mungu alifanya ubadilisho kidogo ili awawezeshe wanadamu kuishi katika anga mbalimbali, kama vile ngozi nyeusi kwa Afrika, kwa chembe chembe za damu ziwawezeshe kukaa mahali kuna joto nyingi sana Afrika. Kulingana na mtazamo huu, Mungu alichanganyisha lugha, kuwafanya wanadamu kutawanyika kilugha, na hapo akaumba chembe chembe za damu tofauti kulingana ni wapi kikundi fulani kitaishi. Kwa kuwa na uwezekano kuwa hakuna msingi wa kibibilia wa mtazamo huu. Kizazi/rangi ya ngozi ya mwanadamu hakuna mahali zimetajwa katika Bibilia kuambatana na mnara wa Babeli.

Baada ya gharika wakati lugha tofauti zilianza kuwepo, kikundi ambacho kilizungumza lugha moja kilijitenga mbali na wengine waliozungumza lugha moja. Kwa kufanya hivyo, chembe chembe za damu zikashuka pakubwa sana kwa vile hicho kikundi hakikupata kujumlika na wengine. Uzao wa karibu ulifanyika na baada ya muda tabia fulani zikazingatiwa katika hivi vikundi tofauti. Uzao ulipoendelea zaidi katika vizazi, ule utofauti wa chembe chembe za damu ulipungua zaidi, hadi kiwango kwamba watu wa lugha ya familia moja wote walikuwa na tabia moja.

Maelezo mengine ni kwamba Adamu na Hawa walikuwa na chembe chembe za damu na kuzaa rangi nyeusi, na nyeupe (na kitu chochote hapo katikati). Hii inaweza kuwa sawa na vile kizazi kina changanyika na kuzaa watoto walio na rangi tofauti. Jinsi Mungu alikusudia mwanadamu awe na sura tofauti, inaleta maana kwamba Mungu huenda aliwapa Adamu na Hawa uwezo wa kuzaa watoto wa rangi tofauti. Baadaye, waliobaki pekee baada ya gharika mahali ambapo Nuhu na bibi yake, watoto wake watatu wa kiume na wake zao, watu nane kwa jumla (Mwanzo 7:13). Ingawa wakwe wa Nuhu walikuwa wa rangi tofauti. Pia inaweza wezekana kuwa mke wa Nuhu alikuwa wa rangi tofauti mbali na ile ya Nuhu. Pengine wote nane walikuwa wa rangi tofauti, ambayo yaweza maanisha kuwa, walikuwa na chembe chembe ambazo zingeweza kuzaa watoto wa rangi tofauti. Elezo lolote lile litakapokuwa, cha muimu katika swali hili ni kwamba wote ni watu wa kizazi kimoja, wote tumeumbwa na Mungu mmoja, wote tumeumbwa kwa lengo moja-kumtukuza Mungu.

No comments:

Leave a Reply