Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

KWAYA YA WANAUME YAHUDUMU USHARIKA WA MWENGE JUMAPILI YA LEO

Posted by : Unknown on : Sunday, June 8, 2014 2 comments
Unknown
 
Usharika wa Mwenge wa kanisa la K.K.K.T leo umepambwa na kwaya ya wanaume ambayo imehudumu kwenye ibada zote mbili.Kwaya hiyo ambayo ni mara yake ya kwanza kuhudumu katika usharika huo.Ibada hiyo ya leo ilikua maaluma kwani iliongozwa na wanaume peke yao.Kwaya hiyo imeimba nyimbo mbili kwenye ibada zote mbili
Pichani juu na chini ni waimbaji wa kwaya ya  wanaume ya Usharika wa Mwenge ikiimba ibadani jumapili ya leo.
Anayeongoza ni mwalimu wa kwaya wa Usharika wa Mwenge mwalimu Kahesi


Picha ya pamoja ya wanaume wa Usharika wa Mwenge walioabudu kwenye ibada ya kwanza inayoanza saa 12.00 asubuhi
Waliovaa majoho wawili katikati nni viongozi walioongoza ibada hiyo.Waliovaa majoho mafupi ni waliohudumu kama wazee wa ibada.Aliyevaa suti nyekundu mbele ni mchungaji kiongozi wa Usharika wa Mwenge mchungaji Kaanasia Msangi

2 comments: for KWAYA YA WANAUME YAHUDUMU USHARIKA WA MWENGE JUMAPILI YA LEO

  1. Hakika Mungu naaudumishe umoja huu uwe ni wa mfano wa kuigwa kwa makanisa yote Tanzania.
    MUNGU ibariki Tanzania ,Mungu libariki kanisa Lako Mungu Tubariki wanamwenge Amien.

    ReplyDelete
  2. Amen mtu wa Mungu, na tuendelee kuuombea umoja huu.Barikiwa

    ReplyDelete