Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

JUMUIYA YA SAREPTA (USHARIKA WA BOKO K.K.K.T ) WAMUAGA MZEE MSTAAFU MAMA CECILIA URIO

Posted by : Unknown on : Monday, February 2, 2015 0 comments
Unknown
 Jumuiya ya Sarepta ya kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Usharika wa Boko jumamosi iliyopita ilifanya ibada ambayo ilikua ni maaluma ya kumwaga mzee wa Kanisa wa jumuiya hiyo aliyestaafu
Katika ibada jiyo iliyoongozwa na Mwinjilisti wa Usharika wa Boko Joyce Mshahara ikiwa na kichwa cha somo kisemacho "UTUKUFU WA BWANA UNATUNG'AZIA) na kuhudhuriwa na wanajumuiya wengi wa jumuiya hiyo ilifanyika nyumbani kwa mzee wa kanisa wa jumuiya hiyo mama Makweta

Pichani mratibu wa jumuiya jiyo akiwa amekaa na mwinjilisti Joyce Mshahara wakati wa ibada hiyo

 Mwenyekiti wa jumuiya ya Sarepta akizungumza kabla ya kukabidhi zawadi .
 Msoma risala akisoma risala kabla ya utoaji wa zawadi . Akisoma risala hiyo alisema jumuiya hii ilianzishwa miaka minne iliyopita ikiwa na wanajumuiya 30
Mwaka 2012 ililazimika kugawa jumuiya hii kutokana na kuwa na wingi wa wakristo na kuzaliwa jumuiya tatu yaani jumuiya ya Boko Beach, jumuiya ya Jordan na jumuiya ya Sarepta
Mpaka sasa jumuiya hii ina wanajumuiya 84 waliojiandikisha
Mafanikio yaliyopatikana tangu kuanzisha jumuiya hii ni pamoja na kubariki ndoa 6 kwa pamoja na ndoa nyingine 6 za familia moja moja ambapo zilifanyika mwaka 2014
Lengo kwa mwaka huu ni kufanya kazi ya kuwarejesha walio nje ya kundi kumrudia bwana
 Picha ya pamoja ya wanajumuiya pamoja na viongozi wa jumuiya ya Sarepta na mchungaji kiongozi wa Usharika wa  Boko Mchungaji Mwakyusa (aliyevaa kola)


 Mama Cecilia Urio (mzee wa kanisa mstaafu) akiongea mara baada ya kukabidhiwa zawadi yake kwenye ibada hiyo
 Kutoka kushoto mzee wa kanisa Anael Isangya, Mzee mama Makweta, Cecilia Urio (mzee wa kanisa mstaafu), Mchungaji Mwakyusa na mwinjilisti Joyce Mshahara
 Mzee Anael Isanya akimkabidhi mchungaji Mwakyusa zawadi yake aliyopewa na wanajumuiya ya Sarepta

 Mwnijilisti Joyce Mshahara naye akipokea zawadi toka kwa mzee wa kanisa mzee Anael Isangya
Mchungaji Mwakyusa akisema neno baada ya kwisha zoezi la utoaji wa zawadi
Waliopewa zawadi ni Mzee Cecilia Urio (aliyestaafu), mzee Isangya na Mama Makweta (wazee wakanisa wapya), mchungaji Mwakyusa na Joyce Mshahara mwinjilisti wa Usharika wa Boko

No comments:

Leave a Reply