Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MTOTO WA MIAKA 12 ATAKA KUMUUA MAMAKE ...KISA?

Posted by : Unknown on : Tuesday, March 24, 2015 0 comments
Unknown
Saved under :



Mtoto wa miaka 12 ameshtakiwa kwa jaribio la kumuua mamake kwa kumpokonya iphone

Mtoto wa miaka 12 amewashtua wengi baada ya kujaribu kumuua mamake mara mbili kwa sababu alimpokonya simu yake ya Iphone.

Kulingana na afisa anayesimamia usalama katika jimbo la Colorado Marekani mtoto huyo alimtilia sumu mamake kwa nia ya kulipiza kisasi.

Mamake aliripotiwa kuzidiwa hali Machi tarehe mbili baada ya kubugia mchanganyiko wa maziwa na barafu''smoothie'' lakini ikabainika kuwa mchanganyiko huo ulikuwa umetayarishwa kwa aina ya sabuni majimaji.

Mamake aliwaambia maafisa wa polisi kuwa alipigwa na bubumbuazi aliponusia harufu ya sabuni baada ya kunywa mchanganyiko huo uliotayarishwa na mwanawe.
''mara ya kwanza nilidhania kuwa hakusuza vizuri glasi aliyoniandalia nayo lakini baada ya hapo akapata sabuni hiyohiyo katika buli lake la maji ndipo akagutuka''alisema mama huyo
Mwanawe alimwambia kuwa alikuwa ameudhika sana na haua yake ya kumpokonya Iphone na kuwa alikuwa amefanya jaribio mbili ya kumtoa uhai.
Mamake alikimbizwa hospitali iliyokaribu ya mji wa Boulder kabla ya kuwaita maafisa wa polisi na kutoa ripoti hiyo.

Uchunguzi uliofwatia ukiongozwa na na sajini Bill Crist ulibaini nia ya mtuhumiwa kwa mjibu wa jarida la BuzzFeed .

Mtoto huyo alikamatwa tarehe 20 Machi na kufikishwa mbele ya hakimu wa mahakama ya watoto alikoshtakiwa kwa jaribio la kumtoa uhai mamake .
“amejaribu mara kadha kumtoa uhai mamake '' alisema sajini Crist.
Mamake kwa sasa ameruhusiwa kurejea nyumbani lakini bila shaka akiwa mwangalifu zaidi.
Idara ya haki katika jimbo hilo inaendelea na uchunguzi.

No comments:

Leave a Reply