Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

UFANYE NINI ILI UPATE USINGIZI WA KUTOSHA

Posted by : Unknown on : Tuesday, April 21, 2015 0 comments
Unknown
Saved under :

Nifanye Nini Ili Nipate Usingizi wa Kutosha?

Biblia inasema hivi: “Konzi moja ya pumziko ni afadhali kuliko konzi mbili za kazi ngumu na kufuatilia upepo.” (Mhubiri 4:6) Ikiwa hutalala vizuri, hutatimiza mengi!
  • “Nisipolala vya kutosha, siwezi kufikiri vizuri! Ninashindwa kukazia fikira jambo lolote!”—Rachel, mwenye umri wa miaka 19.
  • “Inapofika saa nane mchana, mimi huwa nimechoka hivi kwamba ninaweza kulala nikiwa ninazungumza na mtu!”—Kristine, mwenye umri wa miaka 19.
Je, unahitaji kulala zaidi? Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo vijana wenzako wamefanya.
Epuka kuchelewa kulala. Nimekuwa nikijaribu kulala mapema,” anasema Catherine, mwenye umri wa miaka 18.

Katiza mazungumzo. Wakati mwingine marafiki hunipigia simu au kunitumia ujumbe usiku sana,” anasema Richard, mwenye umri wa miaka 21, “lakini sasa nimejifunza kukatiza mazungumzo ili nilale.

Lala na uamke saa zilezile kila siku. Siku hizi mimi hujaribu kulala na kuamka saa zilezile kila siku,” anasema Jennifer, mwenye umri wa miaka 20.

Siri ya Kufanikiwa: Jaribu kulala kwa angalau saa nane kila siku.
Utapata faida nyingi ukichukua hatua chache tu ili kupata usingizi wa kutosha. Kumbuka, ukiwa na afya nzuri utakuwa na sura nzuri, utahisi vizuri, na kutimiza mengi zaidi.
Tofauti na mambo mengine maishani, kuboresha hali yako ya kimwili ni mojawapo ya mambo ambayo wewe unaweza kufanya. Afya yako,” asema Erin, mwenye umri wa miaka 19, “inategemea mtu mmoja tuwewe.


No comments:

Leave a Reply