Latest News


More

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

Posted by : Unknown on : Saturday, October 26, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :


MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH

Mashindano ya uimbaji  wa kwaua kuu ngazi ya Dayosisi ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (K.K.K.T) Dayosisi ya Mashariki na Pwani yamefanyika leo katika kanisa la K.K.K.T Usharika wa Mwenge
Katika mashindano hayo ambayo mgeni rasmi alikua mkuu wa Kanisa la K.K.K.T na askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Dr Alex Gerhaz Malasusa
Katika mashindano hayo yaliyojumuisha kanda zote za Dayosisi hiyo ambazo ni;
1.Kanda ya Kaskazini ambayo iliwakilishwa na kwaya tatu
2.Kanda ya Kati ambayo iliwakilishwa na kwaya tatu
3.Kanda ya Kusini ambayo iliwakilishwa na kwaya tatu
4.Kanda ya Magharibi ambayo iliwakiliswha na kwaya tatu na
5.Kanda ya Kusini Magharibi ambayo hiyo pekee ndiyo  iliwakilishwa na kwaya mbili 

Kwaya zilizoshiriki ni;
1.Kwaya kuu ya Usharika wa Kipawa
2.Kwaya kuu ya Usharika wa Azania Front
3.Kwaya kuu ya Usharika wa Kisarawe
4.Kwaya kuu ya Usharika wa Yombo
5.Kwaya kuu ya Usharika wa Kimara
6.Kwaya kuu ya Usharika wa Chanika
7.Kwaya kuu ya Usharika wa Ukonga
8.Kwaya kuu ya Usharika wa Kurasini
9.Kwaya kuu ya Usharika wa Mbezi Beach
10.Kwaya kuu ya Usharika wa Temeke
11.Kwaya kuu ya Usharika wa Magomeni
12.Kwaya kuu ya Usharika wa Mbezi Luis
13.Kwaya kuu ya Usharika wa Neema
14.Kwaya kuu ya Usharika wa Kinondoni

Katika mashindano hayo kila kwaya iliimba jumla ya nyimbo tatu ambayo wimbo wa kwanza ni wimbo wa siku “NINATAKA KUINGIA”ambao uliimbwa na kwaya zote Wimbo wa pili ni wimbo wa utamaduni na watatu ni wimbo chaguo la  kwaya
Saved under :

No comments:

Leave a Reply