Latest News


More

IBADA YA JUMAPILI HII KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER - MAKUTI KAWE

Posted by : Unknown on : Tuesday, April 21, 2015 0 comments
Unknown
 Jumapili hii katika kanisa la Living Water Makuti Kawe ilifanyika ibada nzuri na ya baraka tele
Ibada hiyo ambayo pamoja na mambo mengine ilikua na mahafali ya wanafunzi wa Kozi ya Life Transforming iliongozwa na mkuu wa kanisa hilo Apostle Onesmo Ndegi akishirikiana na mwalimu Lilian Ndegi (pichani juu)
 Waumini wakifuatilia ibada hiyo ya jumapili
 Mwalimu Augustino akibubujika kwa maombi katika ibada hiyo
 Apostle Onesmo Ndegi (mkuu wa kanisa la Living Water Center) akifurahi kwenye ibada hiyo.Kushoto kwake ni mwalimu Lilian Ndegi na watenda kazi wengine wa kanisa hilo
 Apostle Ndegi akifurahi kwenye ibada hiyo ya jumapili
 Mchungaji Naomi wa kanisa hilo akiimba kwa furaha

 Pichani juu na chini ni waimbaji wa kwaya ya Living Water Center Makuti Kawe wakiimba kwenye ibada hiyo


 Mpiga drums naye akiwajibika kwa sehemu yake
Waumini wakiimba na kucheza kwenye ibada hiyo ya jumapili

(Picha kwa hisani ya Gospel Kitaa Blog)

No comments:

Leave a Reply