Latest News


More

WALEMAVU WAFUNGA BARABARA YA KAWAWA NA UHURU JIJINI DAR LEO

Posted by : Unknown on : Thursday, May 21, 2015 0 comments
Unknown
Saved under :
 KUNDI la walemavu, wajasiriamali na wafanyabiashara ndogo ndogo jana walifunga makutano ya barabara ya Kawawa na Uhuru (Karume) kwa muda wa saa tatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara baada ya kuwaondoa katika eneo la Mtaa wa Kongo Kariakoo jijini Dar es Salaam. 
 Walemavu wakiwa wamekaa barabarani baada ya kufunga barabara hiyo leo jioni

 Walemavu wakiwa wanapiga soga katikati ya barabara leo

Umati wa wapita njia ukiangalia walemavu hao waliofunga barabara na kuleta usumbufu mkubwa kwa watumiaji wa barabara ya Kawawa na Uhuru

(PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA FULLSHANGWE (FS))

No comments:

Leave a Reply