Latest News


More

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Posted by : Unknown on : Thursday, September 3, 2015 0 comments
Unknown
Saved under :

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe

Bwana Makonda (pichani juu) alimshukuru mwalimu Lilian Ndegi jinsi Mungu anavyomtumia kuponya roho za watu kwa njia ya vitabu na alisema yuko tayari kushirikiana naye kuhakikisha vitabu hivyo vinawafikia watu wengi zaidi
 Pichani juu Bwana Makonda akikata utepe kuashiria uzinduzi wav itabu hivyo



Wakina mama wa kanisa waliandaa  keki maalum  kwa ajili ya mwalimu Lilian Ndegi

Bwana Makonda akimshukuru Tumaini Kichila kwa ununuzi wavitabu vya mwalimu Lilian Ndegi

 Mgeni rasm bwana Paul Makonda kushoto  akiwa na mtume Apostle Ndegi (mkuu wa kanisa la Living Water Center - Kawe) na mwalimu Lilian Ndegi ambaye ndiye mwandishi wa vitabu hivyo
 Wakina mama wa Kawe wakiunga mkono katika uzinduzi huo wa jumapili


 Badhi ya vitabu mbalimbali  (pichani juu na chini) ambavyo vimetungwa na mwalimu Lilian Ndegi




Wamama wa Kanisa la Living Water Center Waliandaa keki maalum kwa Mwalimu Lilian Ndegi
Mwalimu Lilian Ndegi akimlisha mumewe Apostle Ndegi Keki
Mwalimu Lilian Ndegi akimlisha mgeni rasmi bwana Paul Makonda keki



No comments:

Leave a Reply