Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MAMA MKRISTO ANATAKIWA AWEJE?

Posted by : Unknown on : Friday, October 11, 2013 0 comments
Unknown
Saved under :

Bibilia inasema nini kuhusu kuwa mama Mkristo?
Jibu: Kuwa mama ni jukumu la muhimu sana ambalo Mungu alilichagua kulipa wamama wengi. Mama Mkristo ameambiwa kuwa awapende watoto wake (Tito 2: 4-5), katika sehemu ili asilete shutuma kwa Mungu na Mwokozi ambaye kwa jina lake abeba jukumu.

Watoto ni tuzo kutoka kwa Bwana (Zaburi 127:3-5). Katika Tito 2:4, neno la Kiyunani philoteknos laonekana kuwaambia wamama kuwapenda wana wao. Hili neno linadhihirisha “upendo wa mama” maalumu. Dhana ambayo yotoka katika maneno haya ni ile ya ulezi wa watoto wetu, kwa upendo kuwakumbatia, kutimiza mahitaji yao, kwa ukarimu kufanya urafiki na kila mmoja kama tuzo la ajabu kutoka kwa Mungu.


Mambo mengi yameamriwa kwa wamama Wakristo katika neno la Mungu:

Kuwa karibu- Asubuhi, mchana na hata usiku (Kumbukumbu La Torari 6:6-7)
Husisha- kutangamana nao, kujadiliana nao, kuwaza nao na kusukuma maisha pamoja (Waefeso 6:4).
Kuwafundusha- maandiko na mitazamo ya Kibibilia (Zaburi 78:5-6; Kumbukumbu La Torati 4:10; Waefeso 6:4)
Kuwaelekeza- msaidie mtoto kukuza ujuzi na kugundua uwezo wake (Methali 22:6) na karama za roho (Warumi 12:3-8 na 1 Wakorintho 12).
Kurudi- kuwafunndisha kumcha Mungu, kuwa na msimamo kila wakati, kuwa wa upendo na wenye msimamo imara (Waefeso 6:4; Waebrania 12:5-11; Methali 13:24; 19:18; 22:15; 23:13-14; 29:15-17)

Kutunza- kuwapa mazingira ya usemi wa kila wakati, uhuru wa kuanguka wanachokifanya, kuwakubali, upendo usio wa masharti (Tito 2:4; 2 Timotheo 1:7; Waefeso 4:29-32; 5:1-2; Wagalatia 5:22; 1 Petero 3:8-9).
Kuwa mfano mwema kwa maadili- kuishi na pia  kuwa kielelezo kutoka kwa mtoto ataweza kujifunza kwa “kushika” hizi tabia za kuishi maisha ya uungu (Kumbukumbu La Torati 4:9, 15, 23; Methali 10:9; 11:3; Zaburi 37:18, 37).
Bibilia kamwe haitaji kuwa kila mwanamke lazima awe mama. Ingawa, huwa yasema kwamba wale ambao Mungu amewabariki kuwa wamama lazima wachukue majukumu yao bila mchezo. Wamama wana  jukumu la ajabu na la muhimu katika maisha ya watoto wao. Uzazi wa mama sio wa kuchosha au kazi isiyofurahisha. Vile mama anavyomzaa mtoto wakati wa uja uzito, na kama vile mama anavyomnyonyesha na kumlea mtoto akiwa mchanga, kwa hivyo wamama wanatekeleza jukumu linaloendelea katika maisha ya watoto wao, hata kama wamefika umri wa kubalehe, ujana, au utu uzima wakiwa na watoto wao. Huku ikiwa ni jukumu la mama lazima libadilishwe na liannziishe, upendo, ulezi, utunzi, na utiaji moyo mama anaowapa watoto kamwe usikome.

No comments:

Leave a Reply