Written by Anonymous

HAPPY NEW YEAR 2015

by Anonymous / 06 Jan 2015

...

Written by Anonymous

MERY CHRISTMAS

by Anonymous / 25 Dec 2014

WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRISTMAS WE WISH U A MERY CHRIS...

Written by Anonymous

HAMUGEMBE PRAISE AND WORSHIP TEAM KUZINDUA ALBUM YAO MWEZI APRIL

by Anonymous / 31 Mar 2014

 Kikundi cha Hamugembe Praise and Worship Team cha mjini Bukoba  kinatarajia kuzindua album yao ya nyimbo za kusifu na kuabudu ...

Written by Anonymous

WE WISH YOU A HAPPY NEW YEAR 2014

by Anonymous / 31 Dec 2013

Leo ndio siku ya mwisho kwa mwaka huu 2013 na masaa machache yajayo tutaingia mwaka ujao 2014.Mtandao huu unawatakia kila la kheri na ba...

Written by Anonymous

KWAYA KUU YA USHARIKA WA AZANIA FRONT NDIO MABINGWA WA UIMBAJI WA K.K.K.T – DMP

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Written by Anonymous

MASHINDANO YA UIMBAJI KWAYA KUU NGAZI YA DAYOSISI YA KANISA LA K.K.K.T (DMP) YAFANA USHARIKA WA MBEZI BEACH LEO

by Anonymous / 26 Oct 2013

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

KUTOKA MADHABAHUNI

IBADA KATIKA KANISA LA LIVING WATER CENTER MAKUTI KAWE JUMAPILI HII

Jumapili hii ilifanyoka ibada nzuri katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe ambapo kiongozi wa kanisa hilo Mtume Onesmo Ndegi  (pichani juu) aliongoza na kuhubiri Pichani juu Mtume Onesmo Ndegi akimtambulisha ndugu wa m...

More KUTOKA MADHABAHUNI
More NENO LA LEO
More MAHUBIRI
More MAOMBI

HABARI ZA KIDINI

MKUU WA WILAYA YA KINONDONI MHESHIMIWA MAKONDA AZINDUA VITABU VYA INJILI KANISA LA LIVING WATER CENTER KAWE KAWE

Mkuu wa wilaya ya Kinondoni mheshimiwa Paul Makonda jumapili hii alikua mgeni rasmi katika uzinduzi wa vitabu vya injili vya mwalimu Lilian Ndegi katika kanisa la Living Water Center - Makuti Kawe Bwana Makonda (pichani juu) alimsh...

More HABARI ZA KIDINI

More HABARI ZA KIDINI

MTANDAO WA TIGO TANZANIA WAZINDUA FACEBOOK YA KISWAHILI

Posted by : Unknown on : Wednesday, April 30, 2014 0 comments
Unknown
Saved under :
 
Tigo inasema huduma hiyo ya Facebook itaweza kutumika bila malipo
Kampuni ya Simu za mkononi ya Tigo nchini Tanzania imezindua matumizi ya mtandao wa kijamii wa mawasiliano ya Facebook,kwenye mfumo wa lugha ya Kiswahili huku kukiwa hakuna malipo.

Mfumo huo ambao ni wa kwanza kwa watumiaji nchini humo unaelezwa kuwa utawezesha watumiaji mbali mbali hasa wale wasiofahamu lugha ya Kiingereza kuwasiliana kwa njia hiyo ya Facebook.


Mtandao huu wa Facebook kupitia kampuni ya simu za mkononi ya Tigo unaelezwa kuwa umelengwa kuwafaidisha watumiaji wa simu za mkono kujiunga kwa kutumia lugha ya Kiswahili tofauti na ilivyo sasa ambapo ili kujiunga na Facebook lazima kutumia lugha ya Kiingereza.

Meneja wa uzalishaji bidhaa wa Kampuni ya Tigo William Mpinga n nasema kuwa wameamua kuzindua mfumo huo kama jitihada zao za kuwaingiza wateja katika ulimwengu wa Digital na pia kuzidi kuipanua lugha ya Kiswahili Duniani kote ambako unapatikana mtandao wa facebook.

Kwa Mujibu wa Bwana William Mpinga ni kwamba mtumiaji mtandao huo wa facebok,akiwa na line ya tigo akiishajiunga na mtandao wa facebook basi ataweza kuendelea kuwasiliana kwa njia hiyo ya mtandao hata kama atakuwa ameishiwa salio la kawaida kwa matumizi ya simu kwa sababu huduma hiyo ya mtandao inapatikana bure.

Kwa upande wa watumiaji mbali mbali wa mtandao niliozungumza nao wameeleza kuwa mbali na kufaidi mtandao huo kwa mawasiliano lakini pia wameeleza kuwa lugha ya Kiswahili itawaongezea urahisi zaidi wa kuwasiliana na pia kuweza kutangaza bidhaa mbali mbali na hivyo kuweza kujiongezea kipato huku wakitumia mtandao huo wa facebook kwa kibiashara Zaidi ya mawasiliano pekee.

No comments:

Leave a Reply